Kwa mujibu wa shirika la habari la Abna, Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu kilitangaza kwamba operesheni ya majeshi ya nchi yetu ya kuadhibu mvamizi wa Kimarekani iliyoanza asubuhi ya leo, bado inaendelea.
Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu kilitangaza: Operesheni ya majeshi ya nchi yetu katika kuadhibu mvamizi wa Kimarekani iliyoanza asubuhi ya leo, bado inaendelea.
Maoni yako